Mwandishi hodari Mark Twain alisema; “Andika lakini uwe tayari kulaumiwa”. Mimi niko tayari kulaumiwa lakini hisia zangu, manung’uniko yangu yaufikie ulimwengu na viongozi wanaotuongoza ...
Enyi wakenya wapenda amani niliposema hamna viongozi mlinifokea sana na kukinga kabila zenu zaidi hata ya dini yake Mwenyezi Mungu. Niliposema tunatawaliwa na waongo mlinidharau na kunitusi ...
当前正在显示可能无法访问的结果。
隐藏无法访问的结果