Korea Kaaskazini imefyatua makombora mawili ya masafa marefu kutoka pwani ya mashariki ya taifa hilo , jeshi la Korea Kusini limethibitisha. Japan pia iliripoti kwamba kuna kitu kilichofyatuliwa ...
Wizara ya Ulinzi ya Urusi imetangaza kwamba ndege zake za mabomu za kimkakati za masafa marefu zimeruka juu ya eneo la maji ...
"Maelezo yote, ikiwa ni pamoja na kasi na urefu, yanalingana na sifa za kombora la masafa marefu la ICBM," Zelenskiy alisema baada ya shambulio la Alhamisi asubuhi kwenye jiji la mashariki mwa ...
Shirika la habari la Korea Kaskazini limesema Kiongozi wa nchi hiyo, Kim Jong Un amesimamia jaribio la kurusha aina mpya ya ...
Korea Kaskazini imerusha makombora kadhaa ya masafa mafupi siku ya Jumanne, Januari 14, jeshi la Korea Kusini limetangaza, siku chache kabla ya kuapishwa kwa Donald Trump na wiki moja baada ya ...
Wakuu wa Majeshi ya Korea Kusini wanasema wanaamini Korea Kaskazini ilirusha makombora kadhaa ya balistiki ya masafa mafupi leo Jumanne asubuhi. Yalipaa upande wa mashariki kuelekea Bahari ya Japani.