Kuna saa 24 za moto kwa Simba na Yanga kujiuliza wanaziendeaje mechi zao zilizoshikilia maana kubwa katika kufikia malengo ...
Ushindi huo umeifanya Simba imalize unyonge wa kufungwa na Yanga mfululizo, baada ya kufungwa kwa mikwaju ya penati 4-3 katika mechi ya fainali ya Kombe la Mapinduzi, Januari 13 mwaka huu.
SERIKALI ina juhudi za makusudi kusuluhisha tatizo lililojitokeza baada ya kutochezwa kwa mechi ya dabi ya Ligi Kuu Tanzania ...
Leo Jumamosi, Mei 8, mechi ya soka ya watani wa jadi Tanzania, Simba na Yanga itachezwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam ikiwa ni ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania msimu huu ...
Hatma ya kiungo Clatous Chama ndani ya Yanga bado inapasua kichwa baada ya mabosi wa timu hiyo kusubiri uamuzi wa kocha wao Miloud Hamdi ambaye anataka kumsoma zaidi kabla ya kutoa kauli ...
SAKATA la kuahirishwa kwa mechi ya watani wa jadi bado linaendelea na kufunika kila kitu kinachoibuka katikati yake.
NI kama vile timu ya Simba imerahisishiwa katika harakati zake za kufanya vyema kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza Kombe la ...
Maandalizi kwa wawakilishi wa Tanzania Simba na Yanga yameendelea kushika kasi Kuelekea michezo ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Mnyama Simba atawakaribisha Al Ahly ijumaa ya Machi 29 ...
Dar es salaam, Tanzania – Sakata la Simba kuzuiwa kufanya mazoezi yake ya mwisho na mabaunsa na maafisa wanaoaminika kuwa wa Yanga katika uwanja wa Mkapa siku ya Ijumaa usiku, lilipelekea debi ...
Kila mmoja akionekana kuwa na hamu ya kuondoka na alama zote tatu ambapo Yanga Princess inahitaji kulipa kisasi ya kipigo cha ...
Katibu wa Matawi ya Yanga mkoani Kagera Jamali Kalumuna aliwaongoza wadau kufungua kikao cha kutoa kauli ya pamoja kuwa ...
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果