Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Jatu Ltd, Peter Gasaya akiwa chini ya ulinzi wa askari Magereza, wakati akitoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Picha na Maktaba Dar es Salaam. Mshtakiwa ...
"Lazima tujiandae vizuri, na mimi niliyoyasikia hapa, bwana aah! Sijui labda kutokee mchawi na wachawi walishakufa, hawapo tena," alisema. Kikwete alisema wajumbe wa mkutano wanamtaka Samia na Mwinyi ...