MBINU za makocha Ahmad Ally (JKT Tanzania) na Miloud Hamdi (Yanga) zimeonekana kutoshana nguvu katika dakika 45 za kwanza ...
Matokeo hayo yameifanya Yanga kufikisha pointi 46 na kuendelea kuongoza msimamo wa ligi ingawa inaweza kupitwa na Simba ikiwa ...
WAKATI kikosi cha Simba kikitarajiwa kuwasili Tabora mapema leo, uongozi wa timu hiyo umesema ... Tabora United iliifunga Yanga mabao 3-1, mechi iliyochezwa Novemba 7, mwaka jana kwenye Uwanja wa Azam ...
Tabora United ilipata jeuri baada ya kuichapa Yanga mabao 3-1 na kisha kutoa kipigo cha 2-1 dhidi ya Azam FC kwenye mechi za mzunguko wa kwanza, matokeo yaliyoifanya kujiaminisha kwamba itaitandika ...
Tukaenda na Mustafa hospitali ya Muhimbili. Musa alikuwa amelala kichalichali. Alionyesha alikuwa taabani. Mguu mmoja ulikuwa ...