Ili kupata ufanisi wa mbinu hiyo, 'ni lazima uwe na idadi kubwa ya wateja, ili ndege ijaye saa zote, na kuwe na mzunguko mkubwa wa safari hizo' anasema. Anaeleza kwamba taswira nchini Tanzania ni ...
Safari za anga za ndege kubwa katika Kiwanja cha Ndege cha Iringa zinatarajiwa kurejea tena rasmi Februari 22 mwaka huu, baada ya kusitishwa kwa zaidi ya miaka nane ili kupisha upanuzi na ukarabati wa ...
KAMPUNI ya Halotel imewakabidhi tiketi za ndege washindi wa ‘Vuna Pointi Twenzetu Dubai’ kwa ajili ya safari ya kwenda Dubai ...