igisagara ca mbere kinini co mu buseruko bwa Republika ya Demokrasi ya Congo kuva ku musi w'Imana. Umuvugizi wa Onu, Stéphane Dujarric, avuga ko abantu 2.800 bakomeretse, igihe umugwi wa M23 ...
Hiki ni kipindi kinachohusisha mahojiano ya kusisimua na wageni mbalimbali kutoka ndani na nje ya Japani. Wakati huu, tunakuletea ripoti kuhusu Mjapani Hiroshi Ikeuchi, mzee ambaye amekuwa na ...
Kampuni chipukizi ya Akili Unde, AI ya nchini China ya DeepSeek juzi Jumanne ilisema kuwa iliweka ukomo kwa muda wa usajili wa watumiaji wapya “kutokana na mashambulizi makubwa ya mtandaoni ...
Wafanyakazi hao watatoa msaada wa kiufundi na vifaa kwa Wizara ya Afya ya Uganda, WHO imesema katika taarifa iliyotolewa mjini Kampala. Wizara ilitangaza mlipuko wa Ebola siku ya Alhamisi baada ya ...
Kuuma kwa misuli ya mwili ni mojawapo ya matatizo yanayoweza kuwakumba watu wenye ugonjwa wa kisukari. Hali hii mara nyingi inahusiana na athari za kisukari kwenye mishipa ya damu, neva na misuli ...