Nashangaa sikuwa na woga, wala hofu, nilikubali na akanikalisha kwenye meza na kunilisha ndizi kibao na kuwaambia watazamaji kuwa punde atanipasua na kuzitoa ndizi nilizokula. Watu walinyamaza katika ...
Wananchi hao wanaojishughulisha na kilimo cha ndizi, viazi pamoja na matunda kama pasheni, parachichi na maembe wameiomba Serikali kutekeleza ahadi yake ya ujenzi wa barabara hiyo na kuiwezesha ...